Lini Mungu Lini (840KB)

Katika sura hii, mwandishi wa Zaburi ansema kwamba alimtumainia Mungu kumkomboa, na alimtegemea kufanya hivyo kwa wakati uliofaa. Kumtumainia Mungu kunahitaji tuseme, “Nyakati zangu zimo mikononi Mwako.”

Nimejifunza kwamba tegemeo linatuhitaji kukubali kwamba kuna maswali mengine ambayo yatabaki yakiwa hayana majibu na hivyo basi kuweka nyakati zetu mikononi mwake Mungu – tukiamini kwamba japo hatuyajui majibu yote, Yeye ayajua.

Kupakua
Lini Mungu Lini
Facebook icon Twitter icon Instagram icon Pinterest icon Google+ icon YouTube icon LinkedIn icon Contact icon