Nisaidie-Ninaogopa! (629KB)

Ujumbe huo, “Usiogope, kwa maana Mimi Mungu, niko pamoja nawe,” umeashiriwa mara nyingi sana katika Biblia. Mungu hataki tuishi kwa hofu kwa maana hofu hutuzuia kupokea na kufanya yote ambayo Mungu ametupangia. Anatupenda na anataka kutubariki na amefanya njia kwetu tuweze kuishi bila hofu.

Tunaweza kuona katika maandiko haya yafuatayo kwamba wale wanaomwamini Yesu hawahitaji kuogopa mambo ambayo wasioamini—watu “wa ulimwengu”—wanayoogopa. Mungu hataki tuogope mambo hayo.

Kupakua
Nisaidie-Ninaogopa!
Facebook icon Twitter icon Instagram icon Pinterest icon Google+ icon YouTube icon LinkedIn icon Contact icon