Ondoka kwenye mitindo

Ondoka kwenye mitindo

Mpenzi, usiuige ubaya, bali uige wema. Yeye atendaye mema ni wa Mungu, bali yeye atendaye mabaya hakumwona Mungu.  3 Yohana 1:11

Wakati mwingine watu uimwenguni wanataka sisi kuzingatia mfano wao. Neno hili linamaanisha “kuwa sawa katika mtindo au tabia; kutenda kwa mujibu wa mitindo iliyopo au desturi. ”

Warumi 12: 2 inasema, Usifanane na ulimwengu huu …. Na 3 Yohana 1:11 inasema tusiige yaliyo mabaya, bali kuiga mambo mema ya Mungu.

Watu daima watajaribu kutuunganisha katika mitindo yao, kwa sababu kutokana na ukosefu wa usalama wao wenyewe. Inafanya wajisikie vizuri zaidi kuhusu kile wanachokifanya ikiwa wanaweza kupata mtu mwingine kufanya hivyo pia. Watu wachache sana wana uwezo wa kuwa wao na kuacha kila mtu awe alivyo.

Je, unaweza kufikiria jinsi dunia ingekuwa nzuri ikiwa tungeweza kufanya hivyo? Ikiwa kila mtu atakuwa salama ndani ya asili yake na awaache wengine wawe walivyo? Hapo basi  hatujaribu kufuata na kuigana.

Ninataka kukuhimiza leo kuamini kuwa unaweza kuwa mfuasi wa Kristo na kuondokana na mitindo ya ulimwengu!

OMBI LA KUANZA SIKU

Roho Mtakatifu, nifanye nisiingie katika mtego wa kufuatana na mitindo ya dunia. Nisaidie kuiga mema na kuishi kama Kristo.

Facebook icon Twitter icon Instagram icon Pinterest icon Google+ icon YouTube icon LinkedIn icon Contact icon